iqna

IQNA

Hassan Abu Turabi-Fard
Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema eneo la Asia Magharibi halidhibitiwi tena Marekani, na kwamba hivi sasa lipo katika mikono ya mataifa ya Waislamu.
Habari ID: 3475447    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01